TMA YATOA ANGALIZO LA MVUA KUBWA KATIKA BAADHI YA MAENEO YA VISIWA VYA UNGUJA NA PEMBA
Descrição
Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) imetoa angalizo la uwepo wa vipindi vya mvua kubwa vitakavyotokea kuanzia saa 3 Usiku wa leo tarehe 20 Aprili, 2023 katika maneno ya Visiwa vya Pemba na Unguja
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 767 400402)
🔘Email: [email protected]
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: http://mwanahalisionline.com
Palavra-chave: meteorologia pemba







Comentários
@fuadaladawi1255 · 21/04/2023
Vedio bila Saudi ya kutosha