TAHADHARI UKANDA WA PWANI
Descrição
TANZANIA: UKANDA wa Pwani wa bahari ya hindi umetakiwa kuchukua tahadhari kufuatia hali ya upepo uambao unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya KM 40 Kwa saa.
Mchambuzi wa Hali ya Hewa kutoka TMA, ametaja maeneo ambayo yatapata adha ya upepo huo kuwa ni Mkoa ya Tanga Pwani DSM, visiwa vya unguja na pemba ikijumuisha visiwa vya mafia pamoja na mikoa ya Lindi na Mtwara.
Hali ya joto pia imeendelea kuutesa mkoa wa Kilimanjaro ambapo joto limefikia 36 kwa saa 24 zijazo ikifuatiwa na mkoa wa Morogoro ambao umefikia 35.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: https://www.facebook.com/Spotileo-176...
HabariLeo: https://www.facebook.com/habarileo/
DailyNews: https://www.facebook.com/dailynewstz/
INSTAGRAM;
HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig...
SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09
Palavra-chave: meteorologia pemba









































Comentários
@OscarDaniel-q1f · 24/02/2025
Mvua ipo ahu ahipo